Loading...

MTANDAZAJI MAARUFU GODWIN GONDWE ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA

PICHA ZA MAMA NTILIE AKILIWA NA KONDA ZIKO HAPA CHINI =>

unnamed (1)
October 25 2015 ni siku ya Uchaguzi Mkuu ambapo Watanzania watachagua Rais, Wabunge na Madiwani.. sababu hiyo pekeyake inatosha kutufanya tusikwepe kabisa kukutana na stori za kisiasa Tanzania !!
Idadi ya Wanahabari waliotangaza Kugombea Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali Tanzania imezidi kuongezeka, tumesikia kuhusu wengi ikiwemo mmoja ya Wanahabari wakongwe Tanzania, Godwin Gondwe ambaye ametangaza kugombea Ubunge wa Jimbo la Ilemela Mwanza.
unnamed (2)
Godwin Gondwe anagombea Jimbo hilo na Sera yake ni hii >>>> ‘MABADILIKO NI SASA, KURA YAKO INA THAMANI KWA MAENDELEO YA ILEMELA
Hapa ninayo picha inayothibitisha kwamba tayari Godwin Gondwe amechukua fomu ya Kugombea Ubunge wa Jimbo hilo Mwanza.
unnamed

KAMA HUOGOPI KUONA UCHI WA MTU MZIMA,BOFYA HAPA CHINI

Ungana nami Sasa Nikutumie Habari za Mapenzi,Moja kwa moja Kwako Bofya HAPA U Like PAGE YANGU NIKUUNGE FASTA!

Karibu tena
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

MAPENZI MATAMU BLOG
Powered by Blogger.
© Copyright UCHAGUZI 2015
Back To Top